Sup!
nazania mko poa!Kwanza shukrani zangu za zati nazirudisha kwa waandaaji wa Monthly event pale british councel!Amani kwako mkubwa Zavara na wanahip hop wote wanao ikubali na wanaotaka kuleta mapinduzi ndani ya Tz amani kwenu...
Ikovipi unajua ebwana daaaaaaaaaaaaa!ebwana da da ebwana wapiiiii!Sikia pale british councel kila mwisho wa mwezi man Zavara pamoja na wanaharakati wote wa hip hop wanakuwepo hapo si unajua..............
yani .......................
wasanii
wanaharakati
wanamapinduzi
wachoraji wa Graphits na Picture.
wapenda maendeleo wote wa mziki na elimu juu ya vijana hapa namaanisha youth!iko vile fanya mpango uwe unajisogeza kwani kuna maada zinaendelea hapo zitakazo kufanya na wewe upate changamoto ya kimaendeleo.
nazania mko poa!Kwanza shukrani zangu za zati nazirudisha kwa waandaaji wa Monthly event pale british councel!Amani kwako mkubwa Zavara na wanahip hop wote wanao ikubali na wanaotaka kuleta mapinduzi ndani ya Tz amani kwenu...
Ikovipi unajua ebwana daaaaaaaaaaaaa!ebwana da da ebwana wapiiiii!Sikia pale british councel kila mwisho wa mwezi man Zavara pamoja na wanaharakati wote wa hip hop wanakuwepo hapo si unajua..............
yani .......................
wasanii
wanaharakati
wanamapinduzi
wachoraji wa Graphits na Picture.
wapenda maendeleo wote wa mziki na elimu juu ya vijana hapa namaanisha youth!iko vile fanya mpango uwe unajisogeza kwani kuna maada zinaendelea hapo zitakazo kufanya na wewe upate changamoto ya kimaendeleo.
No comments:
Post a Comment